AbcSongLyrics.com

Wyre Chuki english translation


Wyre Chuki song lyrics
Wyre Chuki translation
Na na na na ...
Na na na na...


Ni sababu gani mwanitenda hivi
what's the reason you are doing this to me
Uwongo mwanena kunihusu mimi
telling lies about me
Hamnifahamu hamjui
You dont know about me
Chenye nafanya maishani
what i do in life
Mwangu nyumbani
about my household
Mwangu nyumbani
about my household
Mijidai eti nyie marafiki
you claimed to be friends
Kumbe nia zenu zilikuwa kundi
so your intentions were evil
Kunitenganisha na mpenzi
to separate me with the love
Wa roho yangu na kuniacha
of my heart to leave me
Mashakani, taabani
in danger and trouble


Ni chuki, ndio na hisi
it's hate, that i can sense
Nikiwaza jinsi
wondering how
Mlivyojitolea kuniudhi
you decided to irritate me
Bila matokeo yaani
but without any success


Ni chuki, ndio na hisi
it's hate, that i can sense
Nikiwaza jinsi
wondering how
Mlivyojitolea kuniudhi
you decided to irritate me
Bila matokeo yaani
but without any success


Mambo yenu mi sishughuliki nayo
am not concerned with your affairs
Mnavyoishi mimi sina hoja nayo
how you live i care less
Kinachonihusu si lazima
what concerns me is not a must
Mkifahamu na kushinda
you know and wonder about it
Mkipiga domo
when you gossip
Mkipiga domo
when you gossip
Mlichotenda kwangu kweli hakifai
what you did to me wasn't necessary
Kiwango cha unchungu mlinipa yaani
all the anguish you caused to me
Sina heshima kwenu tena
i dont respect you anymore
Ukuta wa chuki mlijenga
the wall of hate you built
Kati mi nanyi
between me and you
Kati mi nanyi
between me and you


Ni chuki, ndio na hisi
it's hate, that i can sense
Nikiwaza jinsi
wondering how
Mlivyojitolea kuniudhi
you decided to irritate me
Bila matokeo yaani
but without any success


Ni chuki, ndio na hisi
it's hate, that i can sense
Nikiwaza jinsi
wondering how
Mlivyojitolea kuniudhi
you decided to irritate me
Bila matokeo yaani
but without any success


Na na na na
Na na na na...
Ni shida kuamini yaani
it's so hard to believe
Na na na na
Na na na na...
Kiwango cha uchungu mlionipa
all the anguish you gave me
Na na na na
Na na na na...
Heshima kwenu mimi sina tena
i no longer respect you
Na na na na
Na na na na...
Basi chuki ndio mimi nahisi
and its hate that i sense


Ni chuki, ndio na hisi
it's hate, that i can sense
Nikiwaza jinsi
wondering how
Mlivyojitolea kuniudhi
you decided to irritate me
Bila matokeo yaani
but without any success


Ni chuki, ndio na hisi
it's hate, that i can sense
Nikiwaza jinsi
wondering how
Mlivyojitolea kuniudhi
you decided to irritate me
Bila matokeo yaani
but without any success