AbcSongLyrics.com

Diamond Platnumz Nataka Kulewa english translation


Diamond Platnumz Nataka Kulewa song lyrics
Diamond Platnumz Nataka Kulewa translation
Ayaaaaaa
Ayaa
We niache niende niende,
let me go
We niache niende niende,
let me go


Mhhhh Usiniulize kwanini, Sababu utanizinguaaa
don't ask me why, you will make me think
Ukitaka jiunge na Mimi, Kama ni pesa we kunywa nitanunua
if you want you can join me, drink I will pay
Mi mwenzio sikuamini, Nikajuaga vya kuzua
I didn't believe
Kumbe mjinga ndo mimi, Ninayetunza kumbe wenzangu wanachukua
I was the stupid one, one who keeps yet others simply take
aaah oooh mapenzi, Mapenzi yalinifanya kama mtoto nilie vibayaa
love made me cry much
Mie siweziya walionikuta niache niseme Jina, Ohh Mapenzi, Mapenzi yalinifanya kama
please let me speak, love made me


mtoto nilie vibayaa na nina mengi,, Yamenijaaa moyoniiiiiiiiiiiiiiii!
cry like a baby
Ehhh nataka kulewa(Lewaaaa)
I want to get high
Mi nataka kulewa (Lewa) nataka kulewa (Lewa)
I want to get high
Zikipanda nimwage ya radhi
when high, I can finally speak
nataka kulewa(Lewaaaa)
I want to get high
Mi nataka kulewa (Lewa) nataka kulewa (Lewa)
I want to get high
Zikipanda nimwage ya radhi
when high, I can finally speak
Ayaaaaaayayayaaa
ayaa
We niache niende niende
let me go


We niache niende niende
let me go
Nipo Mapenzi Maskini, Kamvisha na pete kwa kumuoa,
love made me give her a ring
Kukata Vilimi limi vya wazushi wanafki waliompoonda
the bad ones talked bad about the love
Kumbe mwenzangu na mimii, Ni bure tu najusumbua
I was doing zero work
Si tupo kama ishirini, Mabuzi viny'asti vingine akawaongaaa
we are 20 of us chasing her
Ooooh mapenzi, Mapenzi yalinifanya kama mtoto nilie vibayaa
love made me cry so much


Mie siweziya walionikuta niache niseme Jina, Ohh Mapenzi, Mapenzi yalinifanya kama
please let me speak, love made me
mtoto nilie vibayaa Na nina mengi,, Yamenijaaa moyoniiiiiiiiiiiiiiii!
cry like a baby
Ehhh nataka kulewa(Lewaaaa)
I want to get high
Mi nataka kulewa (Lewa) nataka kulewa (Lewa)
I want to get high
Zikipanda nimwage ya radhi(Oooooooohh
so I can finally speak
nataka kulewa(Lewaaaa) (OoooooJiraniiiiii)
I want to get high
Mi nataka kulewa (Lewa) nataka kulewa (Lewa)
I want to get high
Zikipanda nimwage ya radhi
when high, I can finally speak
ayaaaaaayayayaaa
ayaa
we niache niende niende
let me go
Share
share
1
one